
Wachezaji wa Yanga ndani ya uzi mkali kutoka GSM.
Aliyekuwa beki kisiki wa Yanga ,Lamine Moro amerudi rasmi katika kikosi cha Yanga Baada ya kuandika barua ya kuachana na klabu hiyo kutokana na yeye kutolipwa mshahara ndani ya miezi miwili.
Inavyoonekana Yanga na Lamine Moro wamekaa kwa pamoja wameyamaliza na Lamine Moro kurudi rasmi Leo. Haya yote yanatokea kujiandaa na Mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Simba ambao ni mchezo wa watani wa jadi ndiyo maana timu imeanza kujiimarisha.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,