
Leo katika mitaa ya Gerezani , Kariakoo jijini Dar es Salaam kulikuwepo na tukio la kuwakabidhi wachezaji wa Simba zawadi baada ya kufanikiwa kubeba ubingwa wa ligi kuu msimu jana.
Zawadi hizo zimetolewa na mwekezaji wa klabu hiyo ndugu Mohamedd Dewji mbele ya waandishi wa habari. Wachezaji wa Simba wamekabidhiwa pikipiki , rice cooker pamoja na simu ya mkononi kwa kila mmoja.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,