Nyota wa Simba waondolewa Taifa Stars
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) Emmanuel Amunike amewaondoa kikosini wachezaji sita wa timu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam isipokuwa golikipa Aishi Manula wakidaiwa kutoripoti kambini kwa wakati, na ameteua wachezaji wengine kuziba nafasi zao. Wachezaji walioondolewa ni pamoja na...