Hata bila Morrison Yanga itashinda
Bernard Morrison, shujaa mkubwa wa mechi ya watani wa jana , Simba Sc na Yanga SC ambapo alifunga gol 1 ambalo liliwapa ushindi Yanga SC kwenye mechi yao ya mwisho kuzikutanisha hizi timu zote mbili. Bernard Morrison mpaka sasa hajaungana na kikosi cha Yanga SC ambacho kipo jijini Dodoma kwa...