Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Kelvin Yondani na Luc Eymael hawapatani !Kuna ugomvi wa ndani Kati ya Kocha mkuu wa Yanga Luc Eymael na beki mkongwe wa Yanga Kelvin Yondani. Ugomvi huu umeanza baada ya mechi ya Yanga na Kagera Sugar.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zilikuwa dakika nzuri sana kwa Polisi Tanzania . Dakika ambazo ziliwapa nguvu ya kuongoza kwa goli moja kwa bila huku wakikosa nafasi nyingi za wazi.
Walianza wao kufunga goli kipindi cha kwanza , goli ambalo liliwapa nguvu kubwa sana ya kutawala mchezo wa jana kwa dakika nyingi , Lakini dakika 5 za mwishoni zilileta maumivu na machozi.
Sifa yake kubwa ni kutembea juu ya mpira , sifa yake hatari ni kuisaidia timu kupata ushindi . Krosi zake ndiyo huwa mwanzo wa madhara kwenye timu pinzani. Mechi tatu mpaka sasa hivi akiwa amevaa uzi wa njano na kijani , uzi ambao kimamlaka unamilikiwa na timu ya wananchi....
Alitupa furaha ambayo tulikuwa tunaisubiri kwa muda mrefu , miaka 39 ndiyo miaka ambayo ilitufanya tusubiri ili twende kwenye michuano ya mataifa huru ya Africa (Afcon). Mwaka 2019 ndiyo mwaka ambao tulipata furaha kubwa , furaha iliyochagizwa na Emmanuel Amunike , huyu ndiye aliyekuwa kiongozi imara kutuongoza mpaka Afcon tuliyokaa...
Kwenye maandalizi ya msimu huu kwenye hafla kubwa ya Yanga iliyopewa jina la kubwa kuliko walileta mchezaji ambaye alionekana ni mkubwa kuliko kama mchezaji mpya wa Yanga. Mchezaji ambaye alikuja Yanga akiwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Uganda akiwa na timu ya Polisi ya Uganda, kwenye mgongo wake jezi...
Jana kulichezwa mechi Kali Kati ya Simba na Namungo FC. Kabla ya mechi hiyo Namungo FC walikuwa hawajawahi kupoteza hata mechi moja kwenye mechi tatu za mwisho walizocheza ugenini.
Washambuliaji Reliants Lusajo na Blaise Bigirimana ndio tishio zaidi kwenye kikosi cha Namungo ambapo kwa pamoja msimu huu wamefunga zaidi ya magoli 10.