Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Blog

Sikutaka Morrison apumue – ABDULHALIM HUMOUD.

  Sifa yake kubwa ni kutembea juu ya mpira , sifa yake hatari ni kuisaidia timu kupata ushindi . Krosi zake ndiyo huwa mwanzo wa madhara kwenye timu pinzani. Mechi tatu mpaka sasa hivi akiwa amevaa uzi wa njano na kijani , uzi ambao kimamlaka unamilikiwa na timu ya wananchi....
Amunike
Blog

Emmanuel Amunike aula tena !

Alitupa furaha ambayo tulikuwa tunaisubiri kwa muda mrefu , miaka 39 ndiyo miaka ambayo ilitufanya tusubiri ili twende kwenye michuano ya mataifa huru ya Africa (Afcon). Mwaka 2019 ndiyo mwaka ambao tulipata furaha kubwa , furaha iliyochagizwa na Emmanuel Amunike , huyu ndiye aliyekuwa kiongozi imara kutuongoza mpaka Afcon tuliyokaa...
Blog

Juma Balinya azidi kuwatukana YANGA

Kwenye maandalizi ya msimu huu kwenye hafla kubwa ya Yanga iliyopewa jina la kubwa kuliko walileta mchezaji ambaye alionekana ni mkubwa kuliko kama mchezaji mpya wa Yanga. Mchezaji ambaye alikuja Yanga akiwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Uganda akiwa na timu ya Polisi ya Uganda, kwenye mgongo wake jezi...
1 15 16 17 18 19 79
Page 17 of 79