Yanga vs Prisons kucheza kwenye Uwanja wa NDONDO !
Mchezo kati ya Tanzania Prisons dhidi ya wageni wao Yanga sc umeshindwa kupigwa jijini Mbeya katika dimba la Sokoine kutokana na uwanja kuharibika baada ya shughuli ya kijamii iliyofanyika uwanjani hapo. Mchezo huo ulikua upigwe kesho Ijumaa katika dimba la Sokoine sasa utapigwa katika dimba la Samora mkoani Iringa...