Tuikumbuke Kesho tuliyoisahau kwa Goli la Ajib.
Jana ambayo ilitengenezwa na juzi mbovu, juzi ambayo hatukuruhusu akili zetu kuwaza vyema. Hatukuipa nafasi akili yetu kufikiria maisha ya baadaye ndiyo maana jana tuliishi kwenye nyumba mbaya na leo tunazidi kukaa kwenye nyumba mbovu. Nyumba isiyokuwa na msingi imara, msingi ambao hufanya ukuta wetu uanguke mara kwa mara na...