Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Blog

Tuikumbuke Kesho tuliyoisahau kwa Goli la Ajib.

Jana ambayo ilitengenezwa na juzi mbovu, juzi ambayo hatukuruhusu akili zetu kuwaza vyema. Hatukuipa nafasi akili yetu kufikiria maisha ya baadaye ndiyo maana jana tuliishi kwenye nyumba mbaya na leo tunazidi kukaa kwenye nyumba mbovu. Nyumba isiyokuwa na msingi imara, msingi ambao hufanya ukuta wetu uanguke mara kwa mara na...
Blog

Miguu ya Kina Ngassa iliwekwa kwenye vichwa visivyojitambua!

Jioni nilikuwa nautamaduni wa kwenda kucheza mpira kila nikitoka shule. Utamaduni ambao ulikuwa unawaudhi sana wazazi. Kwao wao hawakuona umuhimu wa mimi kucheza mpira, kwa sababu hawakuona faida yoyote ya mpira. Tangu wakiwa watoto waliaminishwa mpira ni starehe, ni mchezo wa kujifurahisha tu na siyo biashara. Hawakuwa na imani kabisa...
Ligi Kuu

Ndoa ya Masoud Djuma na Simba yavunjika Rasmi.

Rasmi Leo tarehe 8/10/2018 klabu ya Simba imesitisha mkataba na aliyekuwa kocha msaidiizi wa klabu hiyo Masoud Djuma Irambona. Akizungumzua katika makao makuu ya klabu ya Simba, kaimu Raisi wa Simba amedhibitisha kwa kusema kuwa; "Kwa niamba ya klabu sisi tunamshukuru sana kwa huduma zake, tumekaa naye vizuri na tumefanya...
EPL

Mambo matano usiyoyajua kuhusu John Terry

Baada ya kutumia miaka 23 akiwa uwanjani kama mchezaji wa mpira wa miguu , jana John Terry alitangaza rasmi kustaafu kucheza soka la ushindani. Yafuatayo ni mambo matano ambayo unatakiwa kuyajua kuhusu John Terry. 1: Alikuja Chelsea akiwa na miaka 14 kama mchezaji wa academy akitokea katika timu ya Westham....
Blog

Bado naamini Ubora wa Ajib huonekana sana kwenye mechi ndogo!

Msimu jana Realmadrid ilibeba ubingwa wake wa tatu mfululizo wa ligi ya mabingwa ulaya. Ubingwa ambao aliubeba kwa kutumia nguvu kubwa sana kwa sababu ya aina ya timu ngumu alizokutana nazo kabla hajaenda kukutana na Liverpool katika hatua ya fainali. Inawezekana kabisa Liverpool hakuwa amepata vipimo vingi vizuri kama ambavyo...
Blog

Thierry Henry na John Terry kuifundisha Aston Villa

Baada ya Jana John Terry kutangaza kustaafu kucheza soka la ushindani baada ya kucheza kwa miaka 23. Kuna taarifa zinadai ataendelea kubaki kwenye timu yake ya Aston Villa kama kocha msaidizi. John Terry, anatarajiwa kujiunga na Thierry Henry katika benchi la ufundi. Mchezaji huyo wa zamani wa Arsenal, Barcelona na...
Ligi KuuTetesi

Masoud Djuma kutua Yanga

Aliyekuwa kocha msaidizi wa klabu ya Simba Sc, ambaye hivi karibuni amekuwa akitajwa kuondoka katika klabu hiyo, Masoud Djuma sasa yametimia. Viongozi wa Simba pamoja na Masoud Djuma wamekaa kwa pamoja na kuvunja mkataba kwa makubaliano maalumu. Taarifa ambazo tovuti ya Kandanda imepata zinasema Masoud Djuma, kocha huyo aliyejibeba umaarufu...
EPL

Vitu vitano vilivyomuokoa Mourinho

Jana ile sura ya Sir Alex Ferguson ilionekana kwenye timu ya Jose Mourinho. Manchester United walikuwa nyuma ya magoli 5 kipindi cha kwanza, lakini kipindi cha pili waliingia na kushinda mechi kwa magoli 3-2. Ipi ilikuwa silaha kubwa ya Manchester United katika mechi ya jana? 1: Kwa mara ya kwanza...
Blog

Mechi tano zitakazokupa pesa Weekend hii.

Leicester City vs Everton TIMU ZOTE KUFUNGANA. Kwanini ? Mechi tano zilizopita za timu zote ni mechi moja tu ambayo timu zote hazijafanikiwa kufunga goli. Hii inaonesha safu zao za ushambuliaji siyo butu. Na katika hizo mechi tano zilizopita Leicester City imefanikiwa kupata cleansheets 2 tu na kufungwa magoli 7....
1 59 60 61 62 63 79
Page 61 of 79