Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Ligi Kuu

Raphael Daud, ni ngumu kuona Mawio kwenye taa za Kariakoo

Ni sehemu ndogo tu iliyopo Dar-es-Salaam, lakini ni sehemu ambayo ina umuhimu mkubwa sana hapa nchini, hapana shaka TRA hujivunia eneo hili. Hata wafanyabiashara hulitukuza eneo hili, utajiri wao ulianzia hapa na kukua hapa mpaka mitaani wakawa na heshima. Hapana shaka ndilo eneo ambalo huwezi kuwa mchezaji wa mpira wa...
Kombe la Dunia

Mambo Saba yanayotokea nje ya pazia kombe la dunia

Kombe la dunia ni tukio ambalo huleta hisia za watu wengi kuwa pamoja, watu hukutana kwa pamoja na kuzungumza lugha moja ambayo huwa inakuwa yenye hisia moja ambayo ni mpira. Tangu mwaka 1930 lilipoanza kombe hili la dunia nchini Uruguay, watu wengi wamekuwa wakitamani kuweka historia ya pamoja. Kumbukumbu nyingi...
EPL

Viatu vya Scott vimeficha pesa za Pogba

Muda huu kelele za pesa hazisikiki kwa kiasi kikubwa kama ilivyokuwa awali, mategemeo yetu yalikuwa makubwa sana baada ya kuamua kutumia pesa nyingi kununua pasi za mwisho, magoli na uwezo wa kukaba na kushambulia. Tuliamini pesa zimeleta mtu ambaye angekuwa na uwezo wa kusimama na kuonekana kama nembo kubwa ya...
Ligi

Simba na Yanga zinatakiwa zirudi kwenye msingi

Hadithi imejirudia ile ile, hatujawahi kuwa na hadithi mpya tena yenye kufurahisha kwenye michuano ya kimataifa iwe katika ngazi ya vilabu au timu ya Taifa. Hii ni kwa sababu hatuna misingi imara ambayo tumeijenga sisi kama sisi ya kutuwezesha tufanye vizuri kwenye michuano hii ya kimataifa. Misingi hii haipo kwenye...
Blog

Njia panda waliyotuacha Wambura na TFF

Jana imetoka hukumu ya makamu wa raisi wa TFF, Michel Richard Wambura, ambaye alikuwa anakabiliwa na makosa matatu. Kosa la kwanza ni kupokea fedha za shirikisho kwa malipo yasiyo halali, kosa la pili ni kughushi barua ya kuelekeza malipo ya kampuni la Jeck system Limited na kosa la tatu ni...
Ligi Kuu

Hivi ni ngumu kuuendesha kibiashara uwanja wa Taifa?

Kutengeneza hela ni sanaa, kufanya kazi ni sanaa ila kufanya biashara ni sanaa kubwa zaidi Kuna biashara nyingi sana kwenye tasnia ya michezo lakini hatujawahi kuzifanya katika kiwango kikubwa cha ubora. Ukawaida usio wa kawaida umetawala sana kwenye eneo hili la biashara za michezo, ndiyo maana mafanikio yetu ya kawaida...
EPL

Mourinho anaiangalia timu, sisi tunamwangalia Sanchez

Hapana shaka mwaka huu ulianza na mshindo mkuu, mshindo ambao ulitokea katika jiji la Manchester na kusambaa duniani. Kila sehemu duniani kote watu wengi walikamatwa hisia zao kutokana na usajili wa Alexis Sanchez. Hiki ni kitu cha kawaida sana kwa klabu kubwa kama Manchester United, klabu ambayo inajua kucheza na...
EPL

Kilichowaua Liverpool ndicho kilikuwa silaha ya Manchester United

Liverpool alicheza mfumo wa 4-3-3 na Manchester United katika karatasi alionekana kucheza mfumo wa 4-3-3 lakini uwanjani ilikuwa tofauti, wakati wanashambuliwa walikuwa wanacheza mfumo wa 4-2-3-1. Ila wakati wa kujilinda Manchester United walikuwa wanacheza mfumo wa 4-5-1. Kipi kiliwasaidia Manchester United wakati wanajilinda ? Moja ya makosa ambayo timu nyingi...
EPL

Jose ndani ya korti chafu la historia dhidi ya Klopp

Jose Mourinho anaweza kumaliza uteja kwa Jurgen Klopp? Alama mbili pekee zinawatenganisha hawa watu na wako kwenye vita ya kupigania nafasi ya pili mpaka sasa. Wanakutana katika uwanja wa Old Trafford, mechi ya kwanza walitoka suluhu. Jose Mourinho anamkaribisha tena Jurgen Klopp katika uwanja wake wa nyumbani, kipi kitakuwa nguvu...
1 71 72 73 74 75 79
Page 73 of 79