Giza la Yanga ni mwanga wa Simba
Jana giza liliingia mapema sana hapa nchini, giza ambalo lilikuja na majonzi makubwa sana kwa Watanzania wengi Muambatano huu wa giza na majonzi umedumu kwa muda mrefu bila mwanga kuonekana mbele ya mboni za macho yetu. Usiku umekuwa mrefu sana kwetu na kibaya zaidi usiku wetu ulianza mapema sana. Jua...