Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Baada ya mpango huo kufeli nikavutiwa na mpango wa kuja Tanzania ili nijiunge na Simba kama njia ya kwenda Ulaya maana nilikua najua kuna Wanigeria walipita hapa nakwenda Ulaya, nilisikia Emeh Ezechukwe alipita Simba akaenda nchini Denmark."
Kwa urejeo wa Bundesiliga ni kiashirio kipya cha nusu kwa Ligi nyingine barani Ulaya ambazo pia zina mpango wa kumalizia michezo iliyobaki ili Ligi iishe na bingwa apatikane uwanjani!