Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Ni kweli amejieleza na kujitetea sana na kusema alikua anaulizwa maswali yenye mtego na kujikuta akiongea vitu vingi vya Simba lakini sio kwa kukusudia
Simba walitoa ahadi kwa mashabiki wao siku ya Jumamosi yakumleta mchezaji mmoja kati yao walitajwa hapo ili kuungana na wachezaji wengine watakaoingia kambini Jumatano.
Nae msemaji wa klabu ya Simba hakusita kuisifia tovuti yao na kuzungumzia ni rekodi klabu yake hiyo kumilki tovuti katika ukanda huu wa Afrika Mashariki.