
Kocha wa KMC Etiene Ndairagije huenda wakati wowote akatangazwa na matajiri wa jiji Azam fc kuwa kocha wao mkuu kwenda kuchukua nafasi ya Hans Plujim aliefukuzwa.

Bado taarifa rasmi haijatoka lakini kuna kila dalili Ettiene akaenda Azam fc huku pia akibeba na wachezaji wake aliokua nao Mbao fc na KMC
Unaweza soma hizi pia..
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake