Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Samata mchezaji wa zamani wa African Lyon, Simba sc na TP Mazembe anakua Mtanzania wakwanza kucheza katika Ligii Kuu nchini Uingereza maarufu kama EPL.
Klabu ya Simba ambayo ni bingwa mtetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, imebakiwa na mchezo mmoja tu kumaliza mzunguko wa kwanza dhidi ya Alliance.
mchezaji huyo wa zamani wa Simba sc na Mbao mwenye uwezo wakucheza kama kiungo pia amesajiliwa na Namungo kwenda kuziba nafasi ya Paul Ngalema ambae tetesi zinasema huenda akarudi katika klabu yake ya Lipuli fc.
Mshambuliaji makini kabisa wa klabu ya Simba SC, Meddie Kagere, bado ni kinara wa kupachika mabao kwa msimu huu wa Ligi Kuu ya Vodacom, na hata ukijumlisha msimu uliopita na huu bado yeye ni kinara.
Nchimbi akiwa ndio mchezo wake wa kwanza akiwa na jezi ya Yanga na pia mchezo wa kwanza wa Watani alionjeshwa joto hilo na beki mzoefu Pascal Wawa, katika dakika 90 za mchezo huo.