Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Golikipa aliyekuwa akiidakia klabu ya Singida United, Peter Manyika Jr, yupo katika hatua za mwisho kujiunga na KCB FC ya Nchini Kenya. Zaidi zitafuata.......
Kwa mara ya kwanza, Jose Mourinho, kocha wa Manchester United, amekiri kuwa ana wasiwasi David Degea hataweza kuongeza mkataba wake wa kuitumikia Manchester United, imeripotiwa. Mkataba wa Degea unaisha katika majira ya joto, na katika mkataba huo kuna kifungu kinachoiruhusu Man Utd kumuongezea mkataba wa hadi miezi 12. Degea toka...
Nani kuibuka Galacha wa mabao wa Kandanda mwezi huu? Mfungaji Bora mwezi wa Tisa wa ligi Kuu Tanzania bara, Eliud Ambokile, akiwa na zawadi yake kutoka katika tovuti ya kandanda ya kumpongeza....
Klabu ya soka ya Simba imefanya Maangamizi ya kufa mtu katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kwa timu ya Allience fc ijayomiliwa na shule ya kufundishia soka ya jijini Mwanza. Katika mwendelezo wa Ligi Kuu Bara huku Allience wakifikisha mchezo wa 11 lakini wao SimbaSc wakifikisha raundi ya...
Kwa mara ya kwanza klabu ya soka ya JKT Tanzania imepoteza mchezo katika uwanja wake wa nyumbani wa General Isamuhyo Mbweni JKT Dar es salaam katika mchezo dhidi ya AzamFc. Ikicheza mbele ya mashabiki wake klabu ya Jkt Tanzania imekubali kupoteza mchezo huo na hivyo kua mchezo wake wa kwanza...
Mshambuliaji wa klabu ya Singida United, Eliuter Mpepo, ameongea na tovuti yetu kuelekea mchezo wao dhidi ya Ruvushooting na kusema wapo tayari kupambana na kutoka na alama tatu muhimu. ’Tutawapapasa wao leo, (huku akicheka), tumedhamilia kushinda ili tuwe katika nafasi nzuri katika msimamo” alisema Mpepo ambae mpaka sasa anagoli 2...
Kikosi cha timu ya Simba Jumapili kiliwakaribisha Stand United katika dimba la Taifa jijini Dar es salaam na kuwapa chuma tatu kwa bila katika mwendelezo wa Ligi Kuu Bara. Stand united hii ambayo ilifungwa mabao manne kwa matatu dhidi ya Yanga katika dimba la Taifa, pia mwaka jana iliweza kutoka...
Wekundu wa Msimbazi Simba sc wameendeleza moto wao katika dimba lá Taifa jijini Dar és salaam baada ya kuigaragazaa vibaya Stand UTD katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ikicheza mbele ya mashabiki wake waliokua na shangwe ya hali ya juu baada ya kupatikana kwa boss wao Mo Dewji wachezaji wa...