Lipuli inazidi kuteketea!
Klabu ya soka ya Lipuli fc "Wanapaluhengo" kutoka Iringa imezidi kujiweka katika mazingira magumu katika Ligi Kuu Bara baada ya leo kupoteza katika uwanja wao wa nyumbani. Lipuli fc ambayo leo ilikua katika dimba lao la nyumbani la Samora wakiikaribisha Kagera Sugar wamekubali kipigo nyumbani mbele ya mashabiki wao, baada...