Simba sc waanza usajili waanzia Ivory Coast!
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba SportsSClub ambao leo wanaanza michuano ya Kimataifa wameanza usajili wao wa dirisha dogo kwa kushusha ndugu yake Didier Drogba. Simba imemsajili Zana Oumar Koulibaly kama mlinzi kulia kutoka katika klabu ya Asec Memosa ili kuziba nafasi ya Shomari Kapombe aliepata majeraha. Zana Koulibaly mwenye...