Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuandika na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Mohamed Rashidi wa Tanzania Prisons ana goli 6 ligi kuu katika michezo 11 lakini humuoni si Taifa Stars au Kilimanjaro Stars. Kushindwa kuthamini changamoto ya vijana wengine nje ya Simba, Yanga , Azam na wachezaji wa nje ni jambo lingine linaloturudisha nyuma. Vijana hawa tungekuwa tunawaweka katika mizani sawa na...
Kamati ya maandalizi ya Kandanda Day 2017, tamasha la mpira wa miguu linalofanyika kila mwaka mwezi wa kumi, limekabidhi zawadi ya jezi kwa klabu ya wachezaji wenye umri chini ya miaka 13 ya Bombom FC. Bombom FC waliibuka mabingwa katika mchezo wao uliofanyika tarehe 22/10/2017 katika viwanja vya chuo kikuu...
Ivo Mapunda sports center kwa kushirikiana na chama cha soka mkoa wa dar es salaam (drfa) kwa pamoja wanakuletea majaribio ya wachezaji jinsia zote mwezi wa kwanza mwanzoni wa mwaka 2018 kwa wachezaji kuanzia umri wa miaka 6 – 20. Mchezaji ili aweze kushiriki majaribio haya anatakiwa kujaza fomu ambayo...
Kocha Mkuu wa Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Ammy Conrad Ninje amepanga kesho Jumanne Desemba 5, 2017 kuanza kufanyia kazi upungufu ulioonekana kwenye mchezo dhidi ya Libya uliofanyika Jumapili Desemba 3, mwaka huu. Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Kenyatta ulioko Machakos hapa nchini Kenya, Tanzania Bara ilipata sare katika safari...
Kilimanjaro Stars - Timu ya Taifa ya Tanzania Bara kesho Jumapili Desemba 3, 2017 itacheza na Libya katika mchezo wa pili wa michuano ya kuwania Kombe la CECAFA - linaloandaliwa na Baraza la Soka la Afrika Mashariki. Mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa Machakos, utaanza saa 10:00 jioni (1600h) mara baada...
Kama tuna malengo ya kukuza soka letu, hiki ndicho moja kati ya vitu vya kuviangalia kwa jicho la tatu. Football Academy!. Kituo cha House of Blue hope (HBH) kimefanikiwa na kinaendelea kuwakusanya vijana wenye umri chini ya miaka 15 kwaajili ya kuwapa mafunzo ya mpira wa miguu. Kandanda.co.tz ilipata fursa...
Mbwana 'Samagoal' Samatta aakijibu maswali mbele ya mkutano na waandishi wa Habari, aliposajiliwa na klabu ya Genk ya Ubelgiji. Samatta ameelezea kufurahishwa na kujiunga kwake katika klabu ya Genk, na yupo tayari kuisaidia timu hiyo kushinda mabao ambayo yataiwezesha klabu hiyo kupata mataji. Anategemea kuwa na misimu mizuri hapo Genk,...
Tafadhali tumia viungo rasmi kusambaza habari zetu. Facebook, Twitter au Barua Pepe. Kama utataka kutumia habari zetu tuandikie kupitia habari@kandanda.co.tz