Thomas Mselemu

Msimamizi wa Tovuti
Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Mabingwa Ulaya

Liverpool ‘yafa’ Italia, Barcelona safi! PSG 6!

Kundi A Atletico Madrid 3 - 1 Club Brugge Borussia Dortmund 3 - 0 Monaco Kundi B PSV Eindhoven 1 - 2 Inter Tottenham Hotspur 2 - 4 Barcelona Kundi C Paris Saint Germain 6 - 1 FK Crvena Zvezda SSC Napoli 1 - 0 Liverpool Kundi D Lokomotiv Moscow 0 - 1 Schalke 04 C Porto 1 - 0 Galatasaray...
Ligi Kuu

Yanga yawatolea tamko Kotei na Wawa

Mchezo wa watani wa jadi, Simba na Yanga, ulimalizika kwa sare tasa. Kama ilivyokawaida baada ya mchezo huu mkubwa hutokea menfi uwanjani na nje ya uwanja. Katika matukio mengi yaliyojitokeza achilia mbali lile la Ibrahim Ajib kuanzisha mpira kwa kutoa nnje, mchezo huu ulikuwa faulo nyingi, ambazo nyingin zilipelekea mpira...
Ligi Kuu

JKT Tanzania ni moto wa kuotea mbali!

Timu ya soka inayomilikiwa na jeshi la Kujenga Taifa JKT Tanzania imeendeleza kugawa vipigo katika michezo inayopigwa katika uwanja wao wa nyumbani baada ya leo kuiadhibu African Lyon ya Dar es salaam. Katika mchezo huo uliopigwa katika dimba la Generali Isamunyo bao lá Abdulrahmani Mussa katika dakika ya 50  lilitoshakuwapa...
Ligi Kuu

Tff yatoa ripoti ya mapato ya mechi ya Watani!

Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF limetangaza kiasi cha fedha kilichopatikana jana katika mchexm wa Simba na Yanga uliopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Taarifa kutoka TFF "Mchezo72 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara(TPL) kati ya Simba na Young Africans uliochezwa Jumapili Septemba 30,2018 Uwanja wa...
Ligi Kuu

Boaz: Tuchangie ’tukamuue’ mnyama!

Katibu wa matawi ya klabu ya Yanga, Bwana Boaz Ikupilika amewaasa Wanayanga kuongeza kasi ya uchangiaji ili kuipa hamasa timu yao kushinda mchezo wa jumapili. Huu ndio ujumbe to uti yetu imepokea: “Wanayanga niwaombe tuendelee kuichangia timu yetu kwa sasa ili tuwape hamasa kuelekea kuua mnyama jumapili, ukishachangia klabu yako...
Ligi Kuu

John Bocco aweka rekodi hii katika Ligi!

Mshambuliaji na nahodha wa Simba John Raphael Bocco amefanikiwa kuweka rekodi mpya ya ufungaji katika Ligi Kuu Bara katika msimu huu. John Bocco anakua mchezaji wa kwanza kuweza kufunga magoli 100 katika Ligi Kuu ya Tanzânia Bara tangu ilipobadilishwa jina kutoka Ligi daraja lá kwanza Tanzania na kuitwa Ligi Kuu Bara....
Ligi Kuu

John Bocco kuikosa Yanga

Nahodha wa Simba Sports Club John Raphael Bocco ataukosa mchezo wa klabu yake dhidi ya mahasimu wao Yanga utakaopigwa September 30. John Bocco ataukosa mchezo huo baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja na mwamuzi baada ya kumpiga ngumi mlinzi wa klabu ya Mwadui katika mchezo uliopigwa katika...
1 53 54 55 56 57 66
Page 55 of 66