Shirikisho la Soka Ulimwenguni, FIFA, limempiga faini ya dola za kimarekani 503,169.50 (sawa na bilioni 1.2) Jamal Malinzi, Rais wa zamani TFF, baada ya kupatikana na hatia ya kutumia vibaya fedha kutoka shirikisho pamoja na ‘kufoji’ nyaraka.
Mwinyi Zahera amesajili wachezaji wapya wengi sana. Katikati kikosi chake cha sasa wachezaji wa zamani hawazidi wanne ambao huanza kikosi cha kwanza cha Mwinyi Zahera.