Blog

Jamal Malinzi aachiwa huru

Sambaza....

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imemwachia huru aliyekuwa Rais wa TFF,Jamal Malinzi na aliyekuwa katibu wake Celestine Mwesigwa wamekubali kulipa faini baada ya kuhukumiwa kwenda Jela miaka 2 au faini.


Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x