
Unaweza soma hizi pia..
Nani analindwa na sheria za soka.
Sheria na Kanuni za soka zinamlinda nani? Mchezaji, Shabiki au Kiongozi? Kutana na nguli wa masuala husika wakichambua haya.
Uwanja wa Sokoine kukarabatiwa
Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Parimatch wamethibitisha hilo leo baada ya kuingia mkataba wa udhamini wa mwaka mmoja na Klabu ya Mbeya City.
Parimatch waingia mkataba na Mbeya City.
Pia msemaji wa kampuni ya Parimatch amesema wapo katika mazungumzo na vilabu vya Championship ili kutoa udhamini zaidi lakini pia wapo katika mazungumzo na Bodi ya Ligi.
Sadio Kanoute na kisasi cha Ronaldinho
Kanoute anavunja kuni, anakaba, anapiga pasi pia anafunga. Simba inaenjoy kuwa naye katika kikosi chake lakini ukiachana na yote hayo,