Biashara Fc yaamsha nderemo Mara
Shangwe, vifijo na nderemo jana vilitawara katika mkoa wa Mara, baada ya timu yao ya soka ya Biashara kufanikiwa kupanda ligi kuu ya soka Tanzania bara Biashara imefanikiwa kupanda baada ya kuitandika Transit camp kwa mabao 3-2 katika mchezo uliokuwa mkali na wa kusimua kwa dakika zote 90 Kwa matokeo...