Mabingwa Afrika

Mabingwa Afrika

Wajue AS VITA CLUB kiundani zaidi.

Katika mshindano ya Afrika, Club Vita ilishawahi kuwa bingwa wa Klabu bingwa Afrika mara moja mwaka 1973, na mwaka huu imefika fainali katika mashindano ya shirikisho Afrika. Na katika mashindano ya Afrika Mashariki “Kagame Cup” ilishawahi kushika nafasi ya 3 mwaka 2012.
Mabingwa Afrika

DRFA yaipongeza Simba SC.

Chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam kimeipongeza klabu ya soka ya Simba kwa kufanikiwa kutinga hatua ya makundi ya ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa jumla ya mabao 4-3 dhidi ya Nkana FC ya nchini Zambia. Akitoa pongezi hizo kwa niaba ya DRFA katibu mkuu Msanifu...
1 14 15 16 17 18 19
Page 16 of 19