Katika magoli yote 12 ya Simba katika michuano hii, magoli 7 yamefungwa na washambuliaji ikiwa ni asilimia 58.3, na magoli 5 yametiwa kimyani na viungo, hii ni sawa na asilimia 41.7.
kwa hapa Tanzania unaweza kuifananisha na Azam Fc japo kila moja ina tofauti kwa mwingine. Kama tunavyojua hatua za timu kufikia hatua ya mwisho ya mashindano katika nchi ni mchakato.
Katika mshindano ya Afrika, Club Vita ilishawahi kuwa bingwa wa Klabu bingwa Afrika mara moja mwaka 1973, na mwaka huu imefika fainali katika mashindano ya shirikisho Afrika. Na katika mashindano ya Afrika Mashariki “Kagame Cup” ilishawahi kushika nafasi ya 3 mwaka 2012.
Chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam kimeipongeza klabu ya soka ya Simba kwa kufanikiwa kutinga hatua ya makundi ya ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa jumla ya mabao 4-3 dhidi ya Nkana FC ya nchini Zambia. Akitoa pongezi hizo kwa niaba ya DRFA katibu mkuu Msanifu...
Wawakilishi pekee wa Tanzania waliosalia katika michuano ya Caf, Simba SC jioni ya Leo watatupa karata yao ya mwisho ili kujaribu kupindua matokeo ya 1-2 vs Nkana Red Devils FC na kufuzu kwa hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika 2018/19.