Beki ya Simba bado ni uchochoro, na wala usiwaze kuhusu 1-0 Dar es Salaam, Nkana watakuja hapo na kufunga tena na si ajabu ni wao wakapita kwa goli la ugenini kwa beki hii ya Simba na golikipa ‘asiyeona kiki za mbali.’
Mabingwa wa soka nchini Simba Sports Club wameanza vibaya mchezo wa raundi ya kwanza wa ligi ya mabingwa Afrika baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Nkana ya Zambia mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Nkana mjini Kitwe. Simba ambayo iliyoingia kwa kujiamini hasa baada ya raundi ya awali...
Shirikisho la soka barani Africa (CAF) imetoa ratiba ya michezo yote ya raundi ya kwanza itakayopigwa December 14 mpaka 16 na kurudiana tena wiki moja baadae kati ya December 21 na 23. Ratiba Kamili ya Ligi ya Mabingwa Africa : Constantine (Algeria) vs Vipers (Uganda) Orlan Pirates (RSA) vs African...
Ligi ya klabu bingwa barani Africa imemaliza hatua ya awali na sasa inaingia mzunguko wa kwanza ambapo utapigwa tena katika ya December 14 na 16 na michezo ya marudiano utapigwa kati ya December 22 na 24. Wachezaji wawili wa kimataifa katika vilabu vya Nkana Rangers ya Zambia na Simba sc...
Klabu ya soka ya Simba imeendeleza ubabe ugenini katika michuano ya klabu bingwa Africa baada ya kuiadhibu Mbabane Swallors nyumbani kwao. SimbaSc imeifunga mabao manne kwa sifuri Mbabane Swallors katika mchezo wa marudiano uliofanyika kwao katika uwanja wa Manzini nchini Swatziland. Alikua ni Cletus Chota Chama aliefungua kalamu ya mabao...
Nimeitazama timu ya Simba katika michezo yake takribani yote, zikiwemo zile mechi za ligi alizoshinda kwa ushindi mkubwa na zile za ushindi mdogo, sare, kufungwa na mechi za kirafiki. Simba imekuwa na uimara kwa baadhi ya maeneo na udhaifu kwa baadhi ya maeneo pia, nikianza na udhaifu ambao kwa kiasi...
Klabu ya Simba imewasili jana Uswatini ikitokea Afrika ya kusini, huku wakigawana vikosi viwili kwa kuwa ndege iliyokuwa iwafikishe Uswatini haikuwa na uwezo wa kubeba kikosi chote, badala yake kikosi cha kwanza kiliwasili saa saba mchana na kingine kikiwasili saa tisa. Akielezea juu ya hali ya hewa na wachezaji kwa...