Mabingwa Afrika

Mabingwa Afrika

Cletus Cholla Chama!

Kiungo mshambuliaji wa Zâmbia katika klabu ya Simba sc Cletus Cholla Chama aliendeleza moto wake katika mashindano ya Klabu Bingwa Africa Jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Simba jana ilikua dimbani kuiwakilisha nchini katika michuano hiyo ya klabu bingwa Africa dhidi ya Mbabane Swallors ya Swatziland. Katika...
Mabingwa Afrika

Simba ‘yaua’ MTU!

Dakika nane pekee ndizo ambazo ziliwachukua Simba kufunga goli la kwanza kupitia kwa John Raphael Bocco. Goli hili lilidumu kwa dakika 19 , ambapo Guevand Nzambe aliipatia Mbambane goli la kusawazisha. Goli ambalo liliwapa nguvu Mbambane katika mchezo huu. John Bocco aliipatia timu yake goli la pili kwa mkwaju wa...
Mabingwa Afrika

TP Mazembe waiua ndoto ya Msuva Klabu Bingwa

Mtanzania Simon HappyGod Msuva ameshindwa kuifikia ndoto yake ya kucheza hatua ya robo fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya timu yake ya Difaa El Jadidi kutoka sare ya bao 1-1 na TP Mazembe katika mchezo wa mwisho wa B na kushika nafasi ya tatu. Katika mchezo Simon...
Mabingwa Afrika

Lwandamina aunguruma Botswana, asema wapo tayari

Kocha mkuu wa mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga sc, Mzambia George Lwandamina, "Chicken" amesema kuwa kambi yao inaendelea vizuri kuelekea mchezo wa marejeano wa ligi ya mabingwa Afrika, dhidi ya wenyeji wao Township Rollers ya Botswana Yanga sc, ambayo imepiga kambi kunako Hotel ya Crystal Palace mjini Gaborone, inataraji...
Mabingwa Afrika

Mashabiki Yanga mmesikia maneno ya Mkwasa?

Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga sc, kesho watashuka kunako uwanja wa taifa jijini Dar es salaam kuwakaribisha Township Rollers ya Botswana katika mchezo wa raundi ya kwanza ya ligi ya vilabu bingwa barani Afrika Kuelekea katika mchezo huo, Katibu mkuu wa klabu hiyo Charles Boniface Mkwasa "Master" amewataka mashabiki...
Mabingwa Afrika

Yanga sc, sasa ni Sudan ama Botswana

Mabingwa wa soka Tanzania bara, Yanga sc, leo hii imefanikiwa kusonga mbele kunako michuano ya ligi ya vilabu bingwa barani Afrika, baada ya kulazimisha sare ya bao 1-1 na wenyeji St Louis ya Shelisheli Mchezo huo wa mzunguko wa awali wa marejeano ulipigwa kunako dimba la Linite mjini Victoria nchini...
1 16 17 18 19
Page 18 of 19