
Baada ya Klabu ya soka ya Simba Sc kuisambaratisha AS Vita katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi na kuweza kufuzu hatua ya robo fainali sasa Simba sc kutajirika tena.
Kwa taarifa ambazo bado tunaendelea kuhakiki zinasema kuna Kampuni mbili kutoka katika moja ya nchi za Kiarabu zipo tayari kuweka pesa na kuwa wadhamini katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika katika klabu hiyo.
Kampuni hizo zilikua zinasubiri Simba ifuzu hatua ya robo fainali ili ziweke mzigo huo.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Moto wawaponza Simba CAF.
Simba iatapaswa kulipa pesa hizi ndani ya siku 60 tangu kutoka kwa hukumu hiyo, lakini pia wana siku tatu za kukataa rufaa.