Ni Diamond tena Russia
Mwimba muziki nguli kutoka Marekani Jason Joel Desrouleaux, maarufu kama Jason Derulo amechaguliwa kutunga wimbo maalum wa Kombe la Dunia litakalofanyika Russia mwaka huu. Jason Derulo maarufu kwa uimbaji, uandishi wa nyimbo na kucheza kutoka Marekani, anafuata nyayo za Shakira, Anastaca na Pitbul waliwahi kuimba nyimbo hizo kwenye makombe ya...