Gabr atua West Bromwich Albion
Klabu ya West Bromwich Albion imethibitisha kumsainisha mkataba wa mkopo beki Ali Gabr wa Zamalek ya Misri mpaka mwishoni mwa msimu huu West Bromwich Albion imetangaza usajili huo kupitia tovuti yake, na ikieleza kuwa Gabr ataungana na raia mwenzake wa Misri Ahmed Hegaz kwenye safu yao ya ulinzi "Ni mchezaji...