Miraj Athumani akiwa na uzi wa Stars!
Mataifa Afrika

Miraji, Banda na kichuya miongoni wa walioachwa

Sambaza....

Kikosi cha timu ya Taifa kimeweka kambi yake ndhini Misri, katika wachezaji 32 waliosafiri na timu iltakiwa wabaki wachezaji 23 tu kwaajili ya mipango ya AFCON.

Kandanda imepata orodha ya wachezaji wanaobaki hawa hapa:

Magolikipa


1-Aishi Manula (Simba SC)
2-Metacha Mnata (Mbao)
3-Aron Kalambo (Tz Prisons)

Mabeki


4-Hassan Kessy (Nkana, Zambia)
5-Vicent Philipo (Mbao)
6-Gadiel Michael (Yanga)
7-Mohamed Hussein (Simba)
8-Ally Sonso (Lipuli)
9-Erasto Nyoni (Simba)
10-Kelvin Yondani (Yanga)
11-Agrey Moris (Azam)

Viungo


12-Himid Mao (Petrojet, Misri)
13-Mudathir Yahya (Azam)
14-Feisal Salum (Yanga)
15-Frank Domayo (Azam)

Winga


16-Saimon Msuva (Difaa El Jadid, Morocco)
17-Farid Mussa (Tenerife, Hispania)
18-Yahya Zayd (Ismaily, Misri)

Washambuliaji


19-Thomas Ulimwengu (JS Soura, Algeria)
20-John Bocco (Simba)
21-Mbwana Samatta (Genk, Ubelgiji)
22-Rashid Mandawa (BDF, Botswana)
23-Adi Yussuf (Blackpool, England)


Sorry, there are no polls available at the moment.
Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x