
Kiungo wa klabu ya Yanga, Ibrahim Ajib imeripotiwa kuna asilimia kubwa ya yeye kutocheza katika mchezo wa leo dhidi ya KMC.
Ibrahim Ajib amepata majeraha Jana akiwa mazoezini, na imeripotiwa majeraha hayo yanaweza kumsababisha Leo asiwepo kwenye mechi ya Leo.
![]() ![]() 0 - 1Uhuru N/A KMC FC vs Young Africans SC |
Hili ni pigo kubwa sana kwa Yanga kumkosa Ibrahim Ajib katika mchezo wa Leo kwa sababu msimu huu amekuwa mchezaji muhimu ndani ya kikosi hicho cha wana Jangwani.
Mpaka sasa hivi amehusika katika magoli 11 kati ya magoli 14 ambapo Yanga imefunga. Hivo asilimia kubwa ya magoli ya Yanga yametoka katika mguu wa Ibrahim Ajib.
Unaweza soma hizi pia..
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.