Kombe la Dunia

Etienne: Tupo tayari

Sambaza....

Ndayiragije Etienne kocha wa zamani wa KMC, na sasa Azam Fc, anakaimu kufundisha timu ya Taifa stars.  Leo anamtihani mzito dhidi ya timu yake ya nyumbani.

Kwa upande wake amesisitiza mara nyingi iweledi na umuhimu wa kuangali na kuahakisha maandalizi ya timu kwa ujumla kuelekea mchezo huu muhimu.

Marudio ya mechi hii itakuwa tarehe nane mwezi huu jijini Dar es Salaam.

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x