Vyombo mbalimbali vya habari nchini Morocco vimeripoti kwamba kocha wa timu ya Taifa Herve Renard anatarajia kuachia ngazi kuifundisha timu hiyo mara baada ya kumalizika kwa michuano ya Mataifa Afrika. Kocha huyo wa zamani wa timu ya Taifa ya Zambia na Ivory Coast anatazamiwa kukitema kibarua chake baada ya kupata...
Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) siku ya Jumapili wametangaza namna makundi ya michuano ya Mataifa Afrika itakavyopangwa kwa kutoa mchangunuo wa makundi ya awali kabla ya kupangwa kwa makundi yenyewe April 12 mwaka huu mjini Cairo, Misri. Katika mchanganuo huo Tanzania ambayo hii ni mara yake ya pili kufuzu...
Ushindi wa Timu ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kwenye fainali za Mataifa Afrika (AFCON) umeifaidisha si tu kufuzu bali hata kupanda kwenye nafasi za ubora wa soka Ulimwenguni. Viwango hivyo vinavyotolewa na shirikisho la Kandanda Ulimwenguni (FIFA)...