
Kocha Emmanuel Amunike amemuongeza beki wa Kati wa klabu ya Simba, Erasto Nyoni, katika kikosi cha Taifa Stars. Hii ni kuongoza nguvu katika kikosi cha Stars kwaajili ya mechi ya marudio dhidi ya Cape Verde jumanne hii.
Katika mechi hiyo Taifa Stars itamkosa pia Hassan Kessy aliye na kadi mbili za njano.
habari zaidi kufuata…
Unaweza soma hizi pia..
Stars mpya ni Himid na Sure Boy!
kwa upande wa John Bocco yeye ameendelea kukosekana na nafasi yake kuchukuliwa na mchezaji mwenzake wa Simba Kibu Denis.
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.