Tanzania kufuzu Afcon ni kama filamu kwetu!
Niacheni nionekane muoga tu lakini akili yangu inampitisha moja kwa moja Algeria kuchukua nafasi moja wapo kati ya hizo mbili.
Taifa Stars yenye nuru
Kocha mkuu wa Taifa Stars ametaja kikosi chake cha Tanzania na huu ni mtazamo wa Tigana Lukinja.
Feisal Salum fanya hivi uondoke Yanga!
Lakini Fei wa sasa amereje upya kwenye form yake nadhani ndio muda wa kuondoka sasa, kiufundi anachopaswa kufanya ni kuongeza uwezo wa kutafsiri mahitaji ya mchezo kutokana na muda na tukio.
Hivi David Mwantika aliondoka na Amunike?
Baada ya uteuzi wa mwalim Amunike wa kumpa nafasi Mwantika kuziba pengo la Morris wadau wengi walikosoa uteuzi wake.
Sure Boy! Afisa mipango wa asili dimbani!
Kandanda likiwa kwake jua tayari mipango imeanza, kushoto, kulia, mbele, nyuma kote anakua ashatizama huku akili yake ikifanya kazi kwa wepesi.
Hebu tujifunze kwa Waingereza kidogo…
Waingereza walitupiana sana lawama, wakaja na sababu kibao za kwanini wameshindwa kombe la dunia. Tazama hii..
Lipangile: Ndoto ya kila mchezaji kushiriki CHAN!
Lipangile " napendelea kucheza kama mshambuliaji, ndio "naenjoy"zaidi kandanda niwapo uwanjani."
Tanzania kuwajua wapinzani wake leo!
Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Burundi katika hatua ya awali sasa Tanzania inasubiri upangwaji wa makundi ili kuweza kuanza safari ya kufuzu kombe la Dunia nchini Qatar.
Hii ndio Tofauti kuu ya kiufundi kati ya Kapombe na Kessy.
anaweza kucheza kama “Inverted Full back” Kwa maana timu inaposhambulia, Kessy hupanda na kuungana na kiungo wa ulinzi.
Amunike aliwezaje kufunga magoli?
Mpaka sasa unajua kuwa Stars ya Ettiene imefunga magoli mawili tu katika dakika 90 katika mechi tano.