
Kaimu kocha mkuu wa timu ya Taifa Tanzania, Etienne Ndayiragije, ataendelea kuinoa timu hiyo hadi mechi ya mwisho. Huu ni kwa mujibu wa katibu mkuu wa shirikisho la kandanda nchini wakati akijibu maswali ya wadau wa kandanda kupitia akaunti ya TFF katika mtandao wa tweeter.
“Kocha wa Muda wa Taifa Stars ataendelea kuongoza Timu katika mechi zote za Taifa Stars mpaka tutapomaliza kucheza na Sudan hatua ya mwisho ya CHAN.” Wilfred Kidao, baada ya kuulizwa swali na Hashim Mbaga kuhusu hatma ya kocha huyo ndani ya kikosi hicho.
Taifa stars ilisomga hatua inayofuata baada ya kuitoa timu ya taifa ya Kenya kwa mikwaju ya penati wiki iliyopita.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,