Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,
Utamu umerudi mwanangu
timu 12 zitashuka katika viwanja mbalimbali kuashiria ufunguzi wa Ligi pendwa na maarufu Afrika Mashariki na Kati.
Karia: Nimefurahi TAKUKURU kuingilia kati.
si vyema kuliongelea hapa labda nitakua naingilia kazi ya mahakama au uchunguzi lipo kwenye vyombo vya husika.
Wachezaji wa Kigeni Hawaviui Vipaji vyetu..
Hii ni sehemu ya mwisho wa mfululizo wa makala hii, ikifunga kwa ushauri mzuri.
Mh. Mwakyembe…“Winners Take Control” -1
Mjadala mkubwa hivi karibuni umekuwa ni utaratibu ambao unatazamiwa kuletwa katika Ligi Kuu Tanzania bara, fuatilia makala hii ambayo inakupa kwa undani mtazamo wa suala hili kutoka kwa mwandishi.
Tungeimaliza hivi Ligi yetu!
Ligi ya msimu ujao ingechezwa kwa kishirikisha timu 18 badala ya 16 kama ambavyo imepangwa na TPBL na TFF.
Yanga waliingia na silaha hatari Uwanjani
Hatuna uhakika kama viongozi wa kamati ya ulinzi uwanjani waligundua hili, Kandanda iliona hili na kushangaa.
Mtanzania asajiliwa Portsmouth ya ENGLAND
Inawezekana ikawa ni moja ya bahati ambayo sisi Watanzania tumeanza kuzipata kwa Siku za hivi karibuni kutokana na baadhi ya...
Etienne kuendelea na Taifa stars
Etienne Ndayiragije alichukua nafasi ya Emmanuel Amunike ambaye alisitishiwa mkataba baada ya kufanya vibaya katika michuano ya AFCON nchini Misri.
Mdhamini Mkuu TPL Sharti ayajue mambo haya!
Udhamini huo pia uliambatana na zawadi za washindi wa ligi, ambao walipewa shilingi milioni 80.4, mshindi wa pili ,milioni 40.2, wa tatu 28.7, wan ne 22 na timu yenye nidhamu ilipata milioni 17.