
Kuanzia leo hadi michuano itakapomalizika ya kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2019, Inayofanyika nchini Misri, Logo ya Kandanda katika tovuti na kurasa zake za mitandao ya kijamii , Facebook, Instagram, Whatsapp na Twitter itakuwa na jezi ya Nyumbani na Ugenini ya Tanzania.
Mbali na kuivaa jezi hiyo, wasomaji wetu watakuwa wanakumbushwa kila wakati kuwa hizi ndio jezi zetu za Timu ya Taifa Tanzania.
Endelea kufuatilia matokeo, ratiba bila kusahau uchambuzi wa mechi na matukio yanayohusu michuano hii ndani ya tovuti hii pendwa.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,