
Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera amesema timu yake imekosa bahati kwenye mchezo wa leo wa ligi ambapo wamefungwa kwa bao 1-0 dhidi ya Stand United.
Zahera amesema Stand hawakucheza vizuri tofauti na timu nyingine walizocheza nazo kama Mwadui lakini walikuwa na bahati kuwazidi.
Bao pekee la Stand United limefungwa na Jacob Massawe katika dakika ya 88, kwenye mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga.
Unaweza soma hizi pia..
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.