
Kocha wa Kariobangi Sharks ya nchini Kenya William Maluya amesema mchezo ambao Yanga walipoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Stand United ndio mchezo pekee ambao waliweza kusoma mbinu zao kabla ya kucheza nao leo.
Maluya amesema hata Yanga walikuwa bora, na pengine bao la mapema ambalo walilipata ndilo liliharibu mipango yao na kuwafanya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwao.
Kariobangi wamekata tiketi ya kucheza nusu fainali baada ya kuwachapa Yanga kwa mabao 3-2 leo kwenye uwanja wa Taifa katika michuano ya SportPesa Cup.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.