
Klabu ya soka ya Sevilla fc ya kutoka Hispania tayari imewasili Tanzania tayari kabisa kucheza mchezo wa kirafiki katika dimba la Kwa Mkapa siku ya tarehe 23.
Sevilla walioletwa nchini ni Sportpesa wanakuja kucheza na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sports Club mchezo wa kirafiki wa kimataifa nchini.
Unaweza soma hizi pia..
Tigana: Simba atashinda, Mayele amezoeleka!
Yes Mwanza imepata bahati ya kuandaa mtanange huu mkubwa Afrika Mashariki na Kati na uzuri ni kwamba lazima kuwepo na mshindi, huu sio mchezo wa Ligi kwamba uishe sare
Habari ikufikie Mwananchi!
Kikosi cha Yanga kipo kambini kamili gado tayari kabisa kumvaa Mnyama katika mchezo wa kisasi kwa upande wao
Jumamosi tulivu ya Sato na Sangara.
Makocha wote wawili ni waumini wa mifumo yenye idadi kubwa ya viungo pale kati ili kuleta usawa mzuri kwenye kushambulia na kijihami
Usichokijua katika safari ya Simba kombe la FA!
Simba imecheza michezo mitatu ikiwa mwenyeji dhidi ya Dar City, JKT Tanzania na Pamba Fc. Sio tu imepata ushindi lakini pia..