
Golikipa wa Simba na timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ataikosa mechi dhidi ya Mbao Fc itakayochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Aishi Manula amekuwa na majeraha ya kidole ambayo yamemsababisha asifanye mazoezi kwa ukamilifu.
Pamoja na kwamba ameelekea Morogoro, lakini hatokuwepo kwenye sehemu ya mchezo huo kutokana na maumivu ya kidole yanayomkabili.
Unaweza soma hizi pia..
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?