
Enzi za Mbeya City FC
Ni nani wa kurejesha tena hamasa hii na morali ya mashabiki wa Mbeya City FC?? Historia iliyoandikwa kwa gharama kubwa imepotea kwa hasara isiyo na kipimo!
Ni vigumu sana kuandika historia ila ni rahisi kuisahau. Hii ndio Mbeya City FC iliyowachukua baadhi ya mashabiki wa Simba na kuwafanya waitwe kizazi kipya, mambo yalipoanza kwenda kombo kwa MCC huku MO kaichukua Simba nao wale wa kizazi kipya wamerudi nyumbani!

Ama kwa hakika watu wa Mbeya tuna hili deni la klabu yetu ya Mbeya City. Sijui ni mashabiki au ni uongozi chini ya Halmashauri ya jiji aliekosea! Kwa hakika kila mmoja anamakosa yake katika hili. TUJIANGALIE UPYA.
Juniour Matukuta.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,