Biashara FC vs Azam FC

Sambaza....

Baada ya kupoteza ugenini mbele ya Kagera Sugar Azam fc wanakwenda kukutana na Biashara Utd iliyo katika form ya hali ya juu baada ya mchezo wa mwisho kumfunga KMC bao 4 kwa 0

Biashara FC

Azam FC

Uwanja

Karume-Musoma
Unnamed Road, Musoma, Tanzania

Taarifa

Tarehe Muda Ligi Msimu Mwisho
27/06/2020 4:00 pm TPL 2019-2020 90'

Sambaza....