archiveKarume-Musoma

Biashara FC vs Azam FC

Baada ya kupoteza ugenini mbele ya Kagera Sugar Azam fc wanakwenda kukutana na Biashara Utd iliyo katika form ya hali ya juu baada ya mchezo wa mwisho kumfunga KMC bao 4 kwa 0

Biashara United vs Mtibwa Sugar

Huenda ikawa mechi ya Muendelezo wa Ushindi kwa Kocha Zuberi Katwira, baada ya kupata ushindi wa goli 1-0 katika mechi iliyopita dhidi ya Mwadui FC katika dimba jipya la CCM Gairo.
1 2
Page 1 of 2