Blog

Mkutano mkuu wa TFF: Je vipaumbele vimefikiwa?

Sambaza....

Mkutano unaendelea Jijini Arusha, tunakuletea dondoo muhimu kutoka huko pamoja na maoni yetu.

Vipaumbele 11 vya Rais Wallace Karia wakati akigombea


(i) Nidhamu ya muundo na mfumo

(ii) maendeleo ya vijana, wanawake na soka la ufukweni

(iii) Mafunzo na ujenzi wa uwezo

(iv) Mapato, Uwezeshaji na Nidhamu ya Fedha

(v) Miundombinu na Vifaa

(vi) Maboresho Bodi ya Ligi

(vii) Ushirikiano wa Wadau

(viii) Udhamini na Masoko

(ix) Maboresho ya Mashindano

(x) Uimarishaji Mifumo ya Kumbukumbu

(xi) Ufanisi wa Waamuzi


Dondoo kutoka katika mkutano huu kwa njia ya Social media



 

 

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x