
Mwaka 2016 Vichai Srivaddhanaprabha na familia nzima ya Leceister City walitupatia mashabiki wa soka muujiza ambao hautajirudia tena miaka ya karibuni. Tutawakumbuka daima, baada ya Leicester City kuchukua ubingwa wa dunia akiwa na kikosi cha gharama ndogo.
Mungu azilaze pema peponi roho za wote waliokuepo kwenye ajali ya Helicopter iliyotokea Kingpower Stadium. Awatie nguvu, ujasiri na faraja familia za wahanga wote, Leceister City na mashabiki wote wa soka duniani katika kipindi hiki kigumu. Amen.
Unaweza soma hizi pia..
Ronaldinho: Natamani ningecheza na Mo Salah!
Gaucho mshindi wa Ballon'dor pia hakusita kutoa ushauri wa wapi anadhani Mo Salah anatakiwa kwenda huku akisisitiza furaha ni muhimu kwake katika mchezo wa soka.
Mgeni njoo mwenyeji apone!
Baada ya msimu ujao United atakuwa anatimiza miaka 10 tangu kutwaa ubingwa wake wa mwisho wakiwa na mstaafu Sir Alex Ferguson.
Tottenham na maamuzi ya ubingwa kwa Liverpool!
Sababu kubwa ya msingi kwa Spurs kuonekana ni' mfalme' katika mechi 8 zilizobaki kwa pande zote mbili ni ubora wao miongoni mwa timu bora
Adui No1 wa Pep Guardiola
Wapwa: Kweli "zimwi likujualo halikuli likakwisha" kufuatia matokeo ya Premier league usiku wa jana inaashiria kitu.