Ruvu Shooting kuzipeleka Simba na Yanga mkoani Dodoma.
Klabu ya soka ya Ruvu Shooting ya mkoani Pwani imepeleka ombi Kwa bodi ya Ligi Kuu kutaka mechi za Nyumbani zinazozihusisha vilabu vya Simba na Yanga kufanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Msemaji wa Ruvu Shooting Masau Bwire amesema baada ya kuona ombi la JKT Tanzania kukubaliwa mechi zao...