Kaseja: Yanga walistahili kushinda, lakini…!
NAHODHA wa KMC FC, Juma Kaseja alishuhudia Yanga SC wakigongesha nguzo mara tatu wakati wa pambano lao la ligi kuu Tanzania Bara jana Alhamis katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mshindi huyo mara saba wa ligi kuu alishuhudia kiki ya mkwaju wa faulo ya kiungo Feisal Salum ‘ Fei...