
Baada ya Antonio Nugaz kutokuwa na taarifa sahihi ya lini Pryamid FC watakuwa Mwanza, Kandanda.co.tz iliamua kufuatilia kwa ukaribu ujio wa Pyramid FC .
Tulimtafuta Moses William ambaye ni mwandishi wa habari ambaye anafanya kazi kwa ukaribu na Chama cha soka Mwanza, mwandishi huyo kutoka Mwanza amedhibitisha kuwa Chama cha soka Mwanza kinayotaarifa kwa Pyramid kufika saa nane Mwanza.
“Kunamabadiliko ya ratiba, sasa klabu ya Pyramids FC itatua mkoani Mwanza leo saanane mchana, hapo awali ilikuwa wangefika Usiku lakini Taarifa kutoka Chama Cha soka mkoani Mwanza kimetoa taarifa hiyo”
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Moto wawaponza Simba CAF.
Simba iatapaswa kulipa pesa hizi ndani ya siku 60 tangu kutoka kwa hukumu hiyo, lakini pia wana siku tatu za kukataa rufaa.