
Mshambuliaji wa zamani wa Tp Mazembe ambaye pia ni mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) amevunja rasmi mkataba wake na klabu ya Al Hilal ya Sudan.
Imeripotiwa Mshambuliaji Thomas Ulimwengu amevunja mkabata wake na klabu ya Al Hilal ya Sudan akiwa amedumu kwa miezi mitano tu.
Kabla ya kwenda Al Hilal ya Sudan, Iliripotiwa Thomas Ulimwengu kujiunga katika klabu ya Yanga ya Dar es Salaam. Kuvunja kwake mkataba kunaweza kumpa nafasi kubwa yeye kujiunga na klabu hii ambayo aliripotiwa kujiunga nayo awali.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.