Samata na Ulimwengu
Blog

Samagoal na Ulimwengu tayari wapo Tz

Sambaza....

Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta anayechezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji na Thomas Ulimwengu kutoka Al Hil ya Sudan wameshawasili Tanzania asubuhi hii tayari kujiunga na kikosi cha timu ya Taifa.

Tanzania itacheza na Uganda katika mchezo muhimu wa kutafuta tiketi ya AFCON.

 


Sambaza....
Tafadhali tumia viungo vya mitandao ya jamii kusambaza.